Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

JINSI YA KUEPUKA KUWAHI KUFIKA KILELENI [CLICK PICTURE TO VIEW THE NEWS]



Tatizo La Kuwahi Kufika Kileleni Ni Nini?

Kuwahi kufika kileleni au kuwahi kumaliza tendo la ndoa au kwa lugha ya mtaani kukojoa upesi ni hali ambayo inampata mwanamme ambapo hutoa shahawa kabla ya kuanza tendo la ndoa au muda mfupi tu baada ya kuanza tendo bila yeye mwenyewe kukusudia . Kwa kawaida mtu mwenye tatizo hili hutoa mbegu zake za kiume hata baada ya maandalizi kidogo sana. Tatizo hili hujidhihirisha zaidi kwa vijana wenye umri mdogo na hupungua kadri umri wa mtu unavyoongezeka. Karibu kila mwanamme kwa wakati fulani hupata tatizo hili lakini baadhi ya wanaume wenye umri wa kati huwa na tatizo la kudumu. Kwa bahati nzuri tatizo hili limepatiwa ufumbuzi na tiba inapatikana.

Chanzo Cha Tatizo La Kuwahi Kufika Kileleni


Chanzo kamili cha tatizo hili bado hakijafahamika. Lakini imethibika kwamba wasiwasi au mishipa ya fahamu inahusika sana na tatizo hili. Hali hii inaweza kutokea unapompata mpenzi mpya au unapofanya tendo hili baada ya muda mrefu kupita toka ulipotoa shahawa mara ya mwisho. Hii ndiyo sababu iliyofanya baadhi ya wanaume kugundua kuwa wakinywa pombe kidogo, huwapunguzia wasiwasi na huwasaidia wachelewe kufika kileleni. Mara nyingine tatizo hili linatokana na matatizo katika mfumo wa homoni za mtu au likiwa ni matokeo ya matumizi baadhi ya madawa. 

Tiba Ya Tatizo La Kuwahi Kufika Kileleni

Kwa kawaida tatizo la kuwahi kufika kileleni mapema ni tatizo ambalo huondoka lenyewe kadri umri unavyokuwa unasogea mbele. Kama tatizo sio kubwa sana, kwa mfano, kama unamudu kuendelea na tendo la ndoa kwa dakika tano na ungependa kufikisha dakika kumi, wewe sio mtu wa kumwona daktari bali mtu ambaye unaweza kufanya mazoezi fulani ya kuongeza muda wako. Vitu rahisi vya kufanya ni kutokuwa na papara, kutulia na kondoa mawazo yako kutoka kwenye tendo na kuyapeleka mbali kwenye jambo jingine tofauti kabisa unapokaribia kufika kileleni. Unaweza kufanya utafiti na mpenzi wako mkapata mtindo (sexual position) ambao utakusaidia usifike kileleni mapema. Kama hali yako ni mbaya zaidi, unaweza kutumia njia zifuatazo:

1. Kufanya mazoezi yanayosaidia kuondoa tatizo la kuwahi kufika kileleni. Hapa chini ni orodha ya baadhi ya mazoezi unayoweza kufanya;

  • Kuvuta Na Kutoa Pumzi (Deep Breathing)
  • Kuanza Na Kukatisha (The Stop-and-Start Method)
  • Kuminya (The Squeeze Method)
  • Mazoezi Ya Kegel (Kegel Exercises)
  • Mazoezi Ya Tantra (Tantric Techniques)
Mazoezi ya Kegel tumeyapata umuhimu wa kipekee kutokana na ubora wake katika kuondoa tatizo la kukojoa upesi na tumeandika ukurasa wa pekee kwa mazoezi hayo. Katika ukurasa huo tumeweka video moja ya kuonyesha jinsi ya kufanya mazoezi hayo.
2. Kutumia kondomu maalumu (Condoms With Benzocaine). Kondomu hizi hukusaidia uendelee na tendo la ndoa na kuongeza muda wako wa kufika kileleni kwa kiwango cha hadi dakika tano. Kondomu hizi huwekwa benzocaine ambayo hutia ganzi kwa kiwango kidogo sehemu ya kichwa ya uume ili kupunguza usikivu wa nyege (sexual sensation) na kumfanya mwanamme aweze kutawala muda wake wa kufika kileleni.

3. Kutumia dawa zilizotengenezwa mahsusi kwa tatizo hili (Antidepressant medicines). Dawa ambazo zimekuwa zikitumika ni pamoja na clomipramine (Anafranil) na dapoxetine (Priligy). Tramadol (Ultram), dawa ambayo hutumika kuondoa maumivu, hutumika pia kuondoa tatizo hili.

Kuna creams, gels na sprays ambazo zimetengenezwa kupambana na tatizo la kukojoa haraka. Hizi hufanya kazi kwa kupunguza usikivu wa nyege kwenye dhakari. Mfano wa dawa hizi ni lidocaine au lidocaine-prilocaine ambayo hupakwa kwenye uume kabla ya kuanza kujamiiana.
Katika mada nyingine tutalizungumzia tatizo ambalo linasumbua watu wengi sana katika jamii yetu, nalo ni tatizo la jogoo kushindwa kuwika (Erectile dysfunction) au kwa lugha ya mitaani tatizo la uume kushindwa kusimama.

'WATCH OUT DIFFERENT STYLES OF LOVE PHOTOS BY CLICKING THE PICTURE

beautiful couple kissing in the tide



Tiba Za Tatizo La Kukosa Hamu Ya Kufanya Mapenzi [cick picture to view the news]

Tiba Za Tatizo La Kukosa Hamu Ya Kufanya Mapenzi Kwa Mwanamme

Sasa tutazame mambo ambayo unaweza kuyafanya kuongeza na kudumisha hamu ya kufanya tendo la ndoa. Tatizo hili halijapatiwa dawa za kwenye mahospitali isipokuwa pale unapogundulika kuwa una kiwango kidogo cha testosterone ambapo utaandikiwa namna ya kukiongeza kiwango chako. Fanya yafuatayo kuongeza hamu yako ya kufanya mapenzi.
1. Tafuta mchezo ambao unaweza kushiriki au fanya mazoezi kama vile ya kutembea au kukimbia. Kila siku ufanyapo mazoezi yako jaribu kila siku kufikia kiwango cha juu zaidi ya kile ulokwisha kifikia.
2. Inasaidia kufahamu kuwa ni asilimia 40 hadi 50 ya matendo ya ndoa mnayoyafanya yatawaridhisha wote wawili. Kukosa kumridhisha mwenzio iwe changamoto ya kukufanya ufanye utafiti na utundu wa kuboresha tendo mtakapokutana tena.
3. Kama nilivyodokeza hapo juu, jaribuni kwa pamoja kujadili jinsi ya kuboresha namana yenu ya kushiriki katika tendo la ndoa kila mmoja akieleza kile ambacho angependa afanyiwe. Inasaidia kusoma maandishi kutoka sehemu mbalimbali na kutazama mikanda mbalimbali.
4. Kufanya tendo kwa kushitukiza inapendeza wakati fulani. Lakini hili kidogo linaweza kuwa si zuri ukizingatia majukumu ya kila siku ya maisha ya sasa, si rahisi kupata muda wa kutosha wa kustarehe na mpenzi wako. Kuwa na mpango na ratiba ni bora zaidi na inasaidia kuleta hamu mtu anapokisubiri kitu kilichopangwa siku fulani na muda fulani – fikiria unaposubiri mechi kubwa ya timu yako. Mletee zawadi mpenzi wako, weka muziki mororo ulikuwa unaupenda siku zile, zimisha simu na hakikisha kuna mazingira ya utulivu na ukimya.
5. Hamu huongezeka inapoona kitu kipya. Ukienda na mwenzi wako kwenye sherehe nje ya nyumba yenu, utapata fursa ya kumwona mkeo kwa namna nyingine. Utaweza kuuona uzuri wake na yeye pia atakuona wewe kwa namna nyingine. Wote mtakumbuka vitu ambavyo kila mmoja wenu vilimvutia kwa mwenziwe.
6. Kama umejaribu haya yote na hukupata matokeo mazuri, jaribu kutumia chakula kinachosidia kuongeza hamu kama nilivyoelezea kwenye ukurasa wa “Mwanamke kukosa hamu ya kufanya mapenzi” na/au kutengeneza na kutumia viagra asilia kama nilivyoielezea hapa chini. Viagra asilia nadiriki kusema, imewasaidia wasomaji wangu wengi sana.
7. Kuna kampuni zinasambaza virutubisho mbalimbali vya mwili. Virutubisho hivi ukivitumia vinafanya kazi mara moja na kuponya kabisa tatizo hili. Kama umeshindwa kupata kampuni bora ya kukupatia virutubisho hivi, wasiliana nami muda wo wote kwa njia nilizoorodhesha hapa chini nipate kukusaidia.

WATCH THE NEW TERMINATOR 3


Become a master of sex - learn how to always satisfy ![click picture to view]

1st woman may experience vaginal orgasm onlyFact: Only one in three women can not achieve orgasm through vaginal intercourse. However, most need and the inclusion of additional activities (clitoral stimulation, either manually or with the help of a vibrator). But that does not mean that the woman mentally or emotionally immature.

2. If you hardly reaches orgasm, it means that something is wrong with it

Fact: A woman who had an orgasm in the past but is now for her to "mission impossible", probably faces some health problem. Also, it is possible that because of the pressure which is exposed to at work or in the family is not ready to let go in order to achieve sexual explosion.

Third five-minute stimulation of the G-spot definitely leads to a climaxFact: There are many ways in which women can reach the pinnacle. But the partners that are well acquainted, knowing what it is that suits them during sex to orgasm was more certain. For a woman, after all, to communicate with your partner and said it the right way.





Touch it right here : 6 points on the body that lead men to madness !

2e1ax_altium_entry_dodiri



Ears
Use the small craftiness. During foreplay do not forget to bite the ear, and tongue lightly pass over it. It will rekindle his desire for you. In addition, whispered something "nasty". You know yourself what would follow af

Not this part. Whether you love him or her fingers hover over this part, know that it will not be good .... Of course, in the positive se


3rd Mošnic
This is a very sensitive part of his body. Whether you use your hands, or the language, it does not seem rough. Find the right balance, and send it to the stars.

4th Warts
You thought this was reserved for women ?! Big mistake! Both men are equally susceptible to warts. Although, not all share the same opinion men. I always do, before going to his chest, ask if not to his nipples. And if the answer is yes, please come in, but gently ...
5th
But A very important part that you should not neglect because it is touching places pertinent to the erotic thrill of every man. Use your finger to create pressure on the perineum (the area around the anal opening) and you will cause at his explosive orgasm.
6th Leather
Explore every part of his body. Take oil massage and head of his shoulders, then the biceps, over his back, stomach ... So you will find out what it is that he feels good!

KIGOGO ANASWA NA KABINTI CHA SHULE [CLICK PICTURE TO VIEW THE NEWS]



PIA KATIKA HABARI NYINGINE ZAKUFUMANIWA NI PAMOJA YA HUYU KIGOGO MWINGINE ALIENASWA LIVE GESTI AKIWANA DENTI,CHEKI VIDEO UJIONEE MWENYEWE

hii imetokea uiku wakuamkia leo ambapo kigogo huyo alikuakatika
hiyo gesti,lakini waaanadihi wapaparazi wanaripoti kua kabla yakufika katika hiyo geti alikua akionekana katika mgahawa mmoja maarafu unaosifika

lakini mda sii punde ndipo alipoonekana mishale ya saa nne usiku akichomoka nakuelekea katika moja ya geti kubwa ambapo kabinti hako kalionekana kutangulia kabla ya yeye kufika,hapo ndipo fumanizi lilipoanziiia

Powered by Blogger.
© Copyright Daily News
Back To Top